Showing posts with label JAMII. Show all posts
Showing posts with label JAMII. Show all posts

Tuesday, 13 June 2017

SHEREHE

Ngoma ya Jamii ya kimasai ikitumbuiza katika sherehe ya Mahafali chuo cha Biashara iringa hivi karibuni.

Tuesday, 3 May 2016

MAJI VIJIJINI

Mmoja wa wanakijiji wa Kinyika kata ya Mlenge Tarafa ya Pawaga Wilaya ya Iringa akichota maji Kisimani kwa Matumizi ya Nyumbani. Said Ng'amilo
Rozi Mahai akimvisha Mumewe Pete ya Ndoa Tar 29-08-2014 katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Iringa,      hivi sasa wanatarajia kufika kanisani kujikabidhi kwa Bwana kufunga ndoa ya kidini wabarikiwe sana.

Monday, 23 November 2015

TUNAFATA MAJI

Wananchi wa Kijiji cha Kinyali kata ya Migoli wakifuata Mji Bwawa la Mtera yapata umbali wa maili 3,,kwa matumizi ya kufua na kuoga.

Thursday, 29 October 2015

RC ANENA

Mkuu wa Mkoa wa Iringa akiongea na waandishi wa Habari Manispaa ya Iringa kuhusu ujumbe wa amani baada ya Uchaguzi,kwakuwataka wananchi waheshimu maamuzi yaliotokea ili kuendelea na kazi za Maendeleo,

Sunday, 18 October 2015

MATUKIO MSIBA WA DEO FILIKUNJOMBE

Mjane wa Marehemu anaepunga mkono pichani akiashiria huzuni na kuaga.

 Spika wa Bunge Anna Mkinda akisalimiana na kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo Zitto kabwe

 Ris Jakaya kikwete akipita kuwapa mkono wa fiwa wakati wa kuaga mwili wa Deo na wenzake Lugalo Hospitali
Picha Nyumani kwa marehemu Deo Filikunjombe Mtoni kijichi Dar es salaam.

NI MSIBA WA TAIFA

JK aongoza mamia ya watanzania kuaga mwili wa aliekuwa Mbunge wa Ludewa na wenzake wawili katika hospitali ya Jeshi Lugalo kabla ya kuanza safari kuelekea Njombe, Ludewa kwa Mazishi.
angalia matukio katika picha Mnyalu1blogspot.com

Thursday, 15 October 2015

WAMESAINI MKATABA.



Barozi wa Japani nchini Masaharu Yoshida na Mtendaji mkuu wa Wakala wa Barabara Muhandisi, Patrick Mfugale wakitia saini mkataba wa ujenzi wa Barabara ya Juu (FLYOVR) ya makutano ya Nyerere na Mandela eneo la Tazara, katika hafla iliofanyika jana jijini Dar es salaam.
Picha na Said Ng’amilo 

Wednesday, 14 October 2015

KIWANDA CHA ZAMANI CHA SARUJI.

Kiwanda cha Saruji cha zamani kilichopo Mtwara, Mahala ambapo kimejengwa kiwanda cha Muwekezaji 
Aliko Dangote (DANGOTE SIMENTI). Picha na Said Ng'amilo

SEHEMU YA KIWANDA CHA DANGOTE SIMENTI MTWARA.

Picha sehemu ya Ofisi na Sehemu Kiwanda cha Saruji Dangote simenti.Mtwara.

Saturday, 26 September 2015

MSAADA SARUJI.

Mwenyekiti wa Umoja wa waliohitimu elimu ya Sekondari Lugalo 1990 Faraja Chang`a akimkabidhi msaada wa mifuko ya Saruji 200 mkuu wa Shule ya Lugalo Benjamin Kabungu ilikusaidi ujenzi wa uzio wa shule,msaadahuo nimchango wa wanaumojahuo. 

Friday, 25 September 2015

MSAADA WA SARUJI

 Mkuu wa Shule ya Sekondari Lugalo akiongea na wanumoja wa waliohitimu elimu ya Sekondari mwaka 1990 waliofika shuleni hapo na kutoa Saruji mifuko miambili kwa ajili ya ujenzi wa Uzio wa Shule.
 Mweyekiti wa Umoja wahitimu Shile ya Sekondari Lugalo 1990 Faraja Chang`a kulia akimkabidhi Mkuu wa Shule ya Sekondari Lugalo Benjamin Kabungu Simenti mifuko miambili yenye thamani ya Tsh 2,560,000
kwa ajili ya Ujenzi wa Uzio wa Shule.
Picha ya Pamoja wahitimu Sekondari Lugalo mwaka 1990.

Tuesday, 15 September 2015

UKAGUZI

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza akikagua Ujenzi wa Vyoo bora vya wasafiri vinavyojengwa kata ya Mbalamaziwa Wilayani Mufindi Mkoa wa Iringa Barabara itokayo Dar es salaam Mbeya

Thursday, 10 September 2015

ZIRA UKAGUZI MUFINDI RC

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza akikagua ujenzi wa Maabara katika Shule ya Sekondari Igoda kata ya Luhunga Wilaya ya Mufindi.

MCHUNGAJI PETER MSIGWA KUZINDUA KAMPENI UKAWA

Mgombea Ubunge Jimbo la Iringa Mjini Mch, Peter Msigwa akiongea na waandishi wa Habari katika ukumbi wa Sambala Hoteli kuwa anatarajia kufanya mkutano wa kuzindua kampeni tar, 12-09-2015 katika uwanja wa Stendi ya Mlandege Manispaa. 

Saturday, 5 September 2015

RC IRINGA ZIARA UKAGUZI WILAYA YA MUFINDI

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza kulia pichani akikagua na kupewa maelekezo ya ujenzi wa Vyoo bora kwa matumizi ya Abiria wanaosafiri barabara ya Dar es salaam Mbeya  na fundi Mkuu Afisa wa JWTZ Mfinga JKT, Stanley Nzowa katika eneo la Kijiji cha Idetelo kata ya Mbalamaziwa wilaya ya Mufindi.Iringa.

Friday, 28 August 2015

ZIARA MILADI

Mkuu wa Mkoa Iringa Amina Masenza  akikagua mradi wa Maji iliopo kijiji cha Mbigili kata ya Mazombe wilaya ya Kilolo unao hudumia pamoja na vijiji vya tarafa  ya Isimani wilaya ya Iringa.nakujionea ulivyo shindwa kazi kwasababu ya Miundo Mbinu mibovu. 

MKUTANO WA KAMPENI CHADEMA

Mgombea Ubunge Jimbo la Iringa mjini Mch Peter Msigwa akiongea na waandishi wa Habari kujibu shutuma dhidi yake zilizo zagaa kwanye mitanadao ya kijamii na hatua atakazo zichukua huku akitoa wito kwa wakazi wa mji wa Iringa na vitongoji vyake kufika katika mkutano mkubwa wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Tanzania kupitia Ukawa Mh Eduwad Lowassa wa CHADEMA siku ya Jumapili tar 30 Agost Saa 10 jioni  katika viwanja vya Chuo cha Afya Manispaa ya Iringa.

Monday, 17 August 2015

UJENZI HOLELA

Mkuu wa Mkoa wa Iringa akitembelea wakazi  wa kihesa waliojenga juu ya mlima bila idhini.

UKAGUZI UJENZI

Mkuu wa Mkoa wakwanza kushoto akiwa na maafisa wa Halmashari ya Wilaya ya Iringa akikagua ujenzi holela ndani ya Manispaa maeneo ya Mlimani katika kata za Ipogoro,Kihesa na Mtwivila