Showing posts with label SIASA. Show all posts
Showing posts with label SIASA. Show all posts
Thursday, 29 October 2015
Wednesday, 28 October 2015
Tuesday, 27 October 2015
Friday, 23 October 2015
Sunday, 18 October 2015
MATUKIO MSIBA WA DEO FILIKUNJOMBE
Mjane wa Marehemu anaepunga mkono pichani akiashiria huzuni na kuaga.
Spika wa Bunge Anna Mkinda akisalimiana na kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo Zitto kabwe
Picha Nyumani kwa marehemu Deo Filikunjombe Mtoni kijichi Dar es salaam.
Thursday, 15 October 2015
Wednesday, 14 October 2015
Saturday, 26 September 2015
Friday, 25 September 2015
BONANZA LA MICHEZO PAWAGA
Mkurugenzi wa Shirika la IDYDC Iringa John Nkomo akiongea na wana michezo wa zamani Pawaga Veterani Siku ya Bonanza lililo shirikisha michezo mingi ikiwamo kuvuta kamba,kukimbia mitamia,kupiga Danadana na Mpira wamigu kwa Upenzi wa Simba na Yanga na natokeo Simba 2 Yanga 0.
Mkurugenzi Idydc Iringa John Nkomo akikabidhi kombe la Ushindi kwa Nahodha wa Veterani Pawaga wapenzi wa Simba Amir Msigala baada ya timu yake kuibika kidedea kwa kuwabwaga wenzao Veterani Pawaga wapenzi wa Yanga kwa mabao 2 kwa 0
Mkurugenzi wa IDYDC Iringa John Nkomo akitoa zawadi ya Mpira wamazoezi kwa Creython Mbanga Muwakilishi wa Veteraniwa Kijiji Cha Luganga
Muwakilishi wa Veterani Kijiji cha Kimande Abdi Masoud akipokea mpira toka kwa Mkurugenzi wa Idydc John Nkomo kwaajili ya mazoezi
Mkurugenzi Idydc Iringa John Nkomo akikabidhi kombe la Ushindi kwa Nahodha wa Veterani Pawaga wapenzi wa Simba Amir Msigala baada ya timu yake kuibika kidedea kwa kuwabwaga wenzao Veterani Pawaga wapenzi wa Yanga kwa mabao 2 kwa 0
Mkurugenzi wa IDYDC Iringa John Nkomo akitoa zawadi ya Mpira wamazoezi kwa Creython Mbanga Muwakilishi wa Veteraniwa Kijiji Cha Luganga
Muwakilishi wa Veterani Kijiji cha Kimande Abdi Masoud akipokea mpira toka kwa Mkurugenzi wa Idydc John Nkomo kwaajili ya mazoezi
MSAADA WA SARUJI
Mkuu wa Shule ya Sekondari Lugalo akiongea na wanumoja wa waliohitimu elimu ya Sekondari mwaka 1990 waliofika shuleni hapo na kutoa Saruji mifuko miambili kwa ajili ya ujenzi wa Uzio wa Shule.
Mweyekiti wa Umoja wahitimu Shile ya Sekondari Lugalo 1990 Faraja Chang`a kulia akimkabidhi Mkuu wa Shule ya Sekondari Lugalo Benjamin Kabungu Simenti mifuko miambili yenye thamani ya Tsh 2,560,000
kwa ajili ya Ujenzi wa Uzio wa Shule.
Mweyekiti wa Umoja wahitimu Shile ya Sekondari Lugalo 1990 Faraja Chang`a kulia akimkabidhi Mkuu wa Shule ya Sekondari Lugalo Benjamin Kabungu Simenti mifuko miambili yenye thamani ya Tsh 2,560,000
kwa ajili ya Ujenzi wa Uzio wa Shule.
Picha ya Pamoja wahitimu Sekondari Lugalo mwaka 1990.
Friday, 18 September 2015
Subscribe to:
Posts (Atom)




















