Mratibu mafunzo Yustino Msavi akiongea na wajumbe wa kamati za maliasili za vijiji vya Tarafa ya Pawaga
katika Semina iliofadhiliwa na WWF kupitia mtandao wa mazingira wakimataifa MANET yaliofanyika katika ukumbi wa Mwanaima. mafunzo hayo yatafanyika pia kwa kamati zote za Maliasili na Askari wa Mbomipa tarafa ya Idodi ili kuwajengea uwezo wa kiutendaji. Mnyalu.
Baadhi ya washiriki semina ya kuzijengea uwezo kamati za Maliasili na Askari wa Jumuiya ya Mbomipa
Afisa Maliasiri wilaya ya Iringa Rachel Nhambu akifafanua jambo juu ya ulinzi na uhifadhi wanyama pori wakati wa semina ya kuwajengea uwezo kamati na askari katika harakati za kuzuia ujangili wa Tembo.
Mjumbe toka kijiji cha Kimande akichangia Jambo katika semina ya kamati za Maliasili
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment