Mh Godfray
Mgimwa mbunge wa Jimbo la Kalenga amefanya
ziara ya kuwashukuru wananchi katika
baadhi ya kata Jimboni humo pamoja na kutoa vifaa vya ujenzi vilivyo ahidiwa na
Mh marehemu Wiliam Mgimwa sambamba na
yeye binafsi kutoa sehemu ya vifaa na
kuahidi kuchangia zaidi. Sawa na mahitaji sehemu husika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment