Sunday 27 April 2014

Siku ya kukumbukwa Muungano




Komandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), akiwa ameruka kwa miguu yote hewani na kuvunja mbao zilizokuwa zimeshikwa na wenzake wakati wa maonyesho ya kijeshi ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Muungano kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam jana. Picha na Emmanuel Herman
Mwananchi
Unknown Web Developer

No comments:

Post a Comment