Sunday 27 April 2014

Umuhimu wa kula mboga mbichi




Ulaji wa mboga mboga zikiwa katika hali ya ubichi au zikiwa hazijapikwa una faida kubwa kiafya. Hata hivyo, ulaji huo bila ya kuchukua tahadhari utasababisha magonjwa yanayoenea kutokana na kula vyakula vichafu.

Unknown Web Developer

No comments:

Post a Comment