Tuesday, 13 June 2017

      NAMAINGO BUSINESS AGENCY

      NAMAINGO BUSINESS AGENCY

      ...

      SHEREHE

      SHEREHE

      Ngoma ya Jamii ya kimasai ikitumbuiza katika sherehe ya Mahafali chuo cha Biashara iringa hivi karibun ...

      Read More

      ZIARA YA MKURUGENZI WA NAMAINGO IRINGA

      ZIARA YA MKURUGENZI WA NAMAINGO IRINGA

      Mkurugenzi wa Namaingo Busines Agency Tanzania katikati pichani BiUbwa Ibrahim alipo tembelea eneo la Mradi wa wanachama wa Namaingo katika kijiji cha Itagutwa hivi karibuni Mnyalu. ...

      Read More

      Tuesday, 3 May 2016

      MAJI VIJIJINI

      MAJI VIJIJINI

      Mmoja wa wanakijiji wa Kinyika kata ya Mlenge Tarafa ya Pawaga Wilaya ya Iringa akichota maji Kisimani kwa Matumizi ya Nyumbani. Said Ng'ami ...

      Read More

      Rozi Mahai akimvisha Mumewe Pete ya Ndoa Tar 29-08-2014 katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Iringa,      hivi sasa wanatarajia kufika kanisani kujikabidhi kwa Bwana kufunga ndoa ya kidini ...

      Read More

      Monday, 23 November 2015

      TUNAFATA MAJI

      TUNAFATA MAJI

      Wananchi wa Kijiji cha Kinyali kata ya Migoli wakifuata Mji Bwawa la Mtera yapata umbali wa maili 3,,kwa matumizi ya kufua na kuoga. ...

      Read More

      Thursday, 29 October 2015

      DK JOHNI MAGUFULI KIDEDEA URAISI

      DK JOHNI MAGUFULI KIDEDEA URAISI

      DK Johni Magufuli wa CCM aibuka kidedea uchaguzi mkuu nafasi ya urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupata kura ....8,882,935 Votes 58.46 %.......dhidi ya Mpinzani wake Edwad Lowassa wa Chadema ...

      Read More

      RC ANENA

      RC ANENA

      Mkuu wa Mkoa wa Iringa akiongea na waandishi wa Habari Manispaa ya Iringa kuhusu ujumbe wa amani baada ya Uchaguzi,kwakuwataka wananchi waheshimu maamuzi yaliotokea ili kuendelea na kazi za Maendeleo, ...

      Read More

      Wednesday, 28 October 2015

      SHANGWE, HOIHOI, VIFIJOOOOOOOOOO.

      SHANGWE, HOIHOI, VIFIJOOOOOOOOOO.

      Wapenzi na wanachama wa Chadema wakishangilia nje ya ofisi za Manispaa wakisubiri matokeo ya Ubunge Jimbo la Iringa Mjini juz ...

      Read More

      SALAMU KWA WANANCHI MAMBOOOOOOOOO

      SALAMU KWA WANANCHI MAMBOOOOOOOOO

      Mh Peter Msigwa akisalimia wananchi wamanispaa Iringa kwa kupunga mkonowakati wakisubiri kutangazwa matokeo kushoto ni Mzee mwanamageuzi mkongwe Iringa Butinin ...

      Read More

      MCH PETER MSIGWA ATANGAZWA MBUNGE.

      MCH PETER MSIGWA ATANGAZWA MBUNGE.

      Mh Peter Msigwa akiwaasa wananchi wa Manispaa ya Iringa kuwa watulivu wakati wakisubiri matokeo juzi. kushoto ni Msimamaizi wa uchaguzi Jimbo la Iringa Ahmad Saw ...

      Read More

      Tuesday, 27 October 2015

      CHADEMA WASHEREHEKEA USHINDI

      CHADEMA WASHEREHEKEA USHINDI

      Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, wakiweka Bendera eneo la Ofisi ya Kampeni za Uchaguzi 2015, oktoba,25 baada ya kupata dalili za Ushindi tar 26 asubuhi. ...

      Read More

      Friday, 23 October 2015

      MKUTANO WA KAMPENI CCM

      MKUTANO WA KAMPENI CCM

      Add caption Washabiki wa ccm wakiwa katika mfanano wa rangi za chamachao katika mkutano wa kampeni ya mgombea Urais kupitia cc ...

      Read More

      Sunday, 18 October 2015

      MATUKIO MSIBA WA DEO FILIKUNJOMBE

      MATUKIO MSIBA WA DEO FILIKUNJOMBE

      Mjane wa Marehemu anaepunga mkono pichani akiashiria huzuni na kuaga.  Spika wa Bunge Anna Mkinda akisalimiana na kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo Zitto kabwe  Ris Jakaya kikwete akipita ...

      Read More

      NI MSIBA WA TAIFA

      NI MSIBA WA TAIFA

      JK aongoza mamia ya watanzania kuaga mwili wa aliekuwa Mbunge wa Ludewa na wenzake wawili katika hospitali ya Jeshi Lugalo kabla ya kuanza safari kuelekea Njombe, Ludewa kwa Mazishi. angalia matukio ...

      Read More

      Thursday, 15 October 2015

      WAMESAINI MKATABA.

      WAMESAINI MKATABA.

      Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

      Read More

      Wednesday, 14 October 2015

      KIWANDA KIPYA CHA SARUJI

      KIWANDA KIPYA CHA SARUJI

      Sehemu ya kiwanda kipya cha Saruji Mtwar ...

      Read More

      KIWANDA CHA ZAMANI CHA SARUJI.

      KIWANDA CHA ZAMANI CHA SARUJI.

      Kiwanda cha Saruji cha zamani kilichopo Mtwara, Mahala ambapo kimejengwa kiwanda cha Muwekezaji  Aliko Dangote (DANGOTE SIMENTI). Picha na Said Ng'ami ...

      Read More

      SEHEMU YA KIWANDA CHA DANGOTE SIMENTI MTWARA.

      SEHEMU YA KIWANDA CHA DANGOTE SIMENTI MTWARA.

      Picha sehemu ya Ofisi na Sehemu Kiwanda cha Saruji Dangote simenti.Mtwar ...

      Read More

      JK AWEKA JIWE LA MSINGI NHC MTWARA

      JK AWEKA JIWE LA MSINGI NHC MTWARA

      Rais Jakaya Kikwete akiweka Jiwe la Msingi la ujenzi wa nyumba za makazi na Biashara zinazo jengwa na Shirika la Nyumba Mtwara, kushoto ni Mkurugenzi mkuu NHC  Nehemia Mchechu na kulia ni Mgombea ...

      Read More