Tuesday, 13 June 2017
ZIARA YA MKURUGENZI WA NAMAINGO IRINGA
ZIARA YA MKURUGENZI WA NAMAINGO IRINGA
Mkurugenzi wa Namaingo Busines Agency Tanzania katikati pichani BiUbwa Ibrahim alipo tembelea eneo la Mradi wa wanachama wa Namaingo katika kijiji cha Itagutwa hivi karibuni Mnyalu. ...
Read MoreTuesday, 3 May 2016
MAJI VIJIJINI
MAJI VIJIJINI
Mmoja wa wanakijiji wa Kinyika kata ya Mlenge Tarafa ya Pawaga Wilaya ya Iringa akichota maji Kisimani kwa Matumizi ya Nyumbani. Said Ng'ami ...
Read MoreMonday, 23 November 2015
TUNAFATA MAJI
TUNAFATA MAJI
Wananchi wa Kijiji cha Kinyali kata ya Migoli wakifuata Mji Bwawa la Mtera yapata umbali wa maili 3,,kwa matumizi ya kufua na kuoga. ...
Read MoreThursday, 29 October 2015
DK JOHNI MAGUFULI KIDEDEA URAISI
DK JOHNI MAGUFULI KIDEDEA URAISI
DK Johni Magufuli wa CCM aibuka kidedea uchaguzi mkuu nafasi ya urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupata kura ....8,882,935 Votes 58.46 %.......dhidi ya Mpinzani wake Edwad Lowassa wa Chadema ...
Read MoreWednesday, 28 October 2015
SHANGWE, HOIHOI, VIFIJOOOOOOOOOO.
SHANGWE, HOIHOI, VIFIJOOOOOOOOOO.
Wapenzi na wanachama wa Chadema wakishangilia nje ya ofisi za Manispaa wakisubiri matokeo ya Ubunge Jimbo la Iringa Mjini juz ...
Read MoreSALAMU KWA WANANCHI MAMBOOOOOOOOO
SALAMU KWA WANANCHI MAMBOOOOOOOOO
Mh Peter Msigwa akisalimia wananchi wamanispaa Iringa kwa kupunga mkonowakati wakisubiri kutangazwa matokeo kushoto ni Mzee mwanamageuzi mkongwe Iringa Butinin ...
Read MoreMCH PETER MSIGWA ATANGAZWA MBUNGE.
MCH PETER MSIGWA ATANGAZWA MBUNGE.
Mh Peter Msigwa akiwaasa wananchi wa Manispaa ya Iringa kuwa watulivu wakati wakisubiri matokeo juzi. kushoto ni Msimamaizi wa uchaguzi Jimbo la Iringa Ahmad Saw ...
Read MoreTuesday, 27 October 2015
CHADEMA WASHEREHEKEA USHINDI
CHADEMA WASHEREHEKEA USHINDI
Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, wakiweka Bendera eneo la Ofisi ya Kampeni za Uchaguzi 2015, oktoba,25 baada ya kupata dalili za Ushindi tar 26 asubuhi. ...
Read MoreFriday, 23 October 2015
MKUTANO WA KAMPENI CCM
MKUTANO WA KAMPENI CCM
Add caption Washabiki wa ccm wakiwa katika mfanano wa rangi za chamachao katika mkutano wa kampeni ya mgombea Urais kupitia cc ...
Read MoreSunday, 18 October 2015
MATUKIO MSIBA WA DEO FILIKUNJOMBE
MATUKIO MSIBA WA DEO FILIKUNJOMBE
Mjane wa Marehemu anaepunga mkono pichani akiashiria huzuni na kuaga. Spika wa Bunge Anna Mkinda akisalimiana na kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo Zitto kabwe Ris Jakaya kikwete akipita ...
Read MoreNI MSIBA WA TAIFA
NI MSIBA WA TAIFA
JK aongoza mamia ya watanzania kuaga mwili wa aliekuwa Mbunge wa Ludewa na wenzake wawili katika hospitali ya Jeshi Lugalo kabla ya kuanza safari kuelekea Njombe, Ludewa kwa Mazishi. angalia matukio ...
Read MoreThursday, 15 October 2015
WAMESAINI MKATABA.
WAMESAINI MKATABA.
Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...
Read MoreWednesday, 14 October 2015
KIWANDA KIPYA CHA SARUJI
KIWANDA KIPYA CHA SARUJI
Sehemu ya kiwanda kipya cha Saruji Mtwar ...
Read MoreKIWANDA CHA ZAMANI CHA SARUJI.
KIWANDA CHA ZAMANI CHA SARUJI.
Kiwanda cha Saruji cha zamani kilichopo Mtwara, Mahala ambapo kimejengwa kiwanda cha Muwekezaji Aliko Dangote (DANGOTE SIMENTI). Picha na Said Ng'ami ...
Read MoreSEHEMU YA KIWANDA CHA DANGOTE SIMENTI MTWARA.
SEHEMU YA KIWANDA CHA DANGOTE SIMENTI MTWARA.
Picha sehemu ya Ofisi na Sehemu Kiwanda cha Saruji Dangote simenti.Mtwar ...
Read MoreJK AWEKA JIWE LA MSINGI NHC MTWARA
JK AWEKA JIWE LA MSINGI NHC MTWARA
Rais Jakaya Kikwete akiweka Jiwe la Msingi la ujenzi wa nyumba za makazi na Biashara zinazo jengwa na Shirika la Nyumba Mtwara, kushoto ni Mkurugenzi mkuu NHC Nehemia Mchechu na kulia ni Mgombea ...
Read More