Wednesday 8 January 2014

STADI ZA MAISHA YA JAMII YETU.



Stadi za kazi kwa watoto waishio vijijini huwa ni kwa vitendo zaidi  picha hizi kijijini Mtitu kata ya Mtitu Wilaya ya Kilolo.
  Kilimo kwanza ni dhana inayosemekana na kufikirika ila haijatendeka ipasavyo vijijini.
 
 Wanyama kazi na changamoto zake wakati wa matumizi vijijini hapa ni kijiji cha Kitowo kata ya Mtitu Wilaya ya Kilolo.
.
Usafiri wetu.
(Picha zote na Mnyalu)
Unknown Web Developer

No comments:

Post a Comment