Thursday 15 October 2015

WAMESAINI MKATABA.




Barozi wa Japani nchini Masaharu Yoshida na Mtendaji mkuu wa Wakala wa Barabara Muhandisi, Patrick Mfugale wakitia saini mkataba wa ujenzi wa Barabara ya Juu (FLYOVR) ya makutano ya Nyerere na Mandela eneo la Tazara, katika hafla iliofanyika jana jijini Dar es salaam.
Picha na Said Ng’amilo 
Unknown Web Developer

No comments:

Post a Comment