Thursday 29 October 2015

DK JOHNI MAGUFULI KIDEDEA URAISI


DK Johni Magufuli wa CCM aibuka kidedea uchaguzi mkuu nafasi ya urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupata kura ....8,882,935 Votes 58.46 %.......dhidi ya Mpinzani wake Edwad Lowassa wa Chadema akipata kura 6,072,848 Votes (39.97 %, na kutangazwa mshindi, anatarajiwa kuapishwa hivikaribuni. 
Unknown Web Developer

No comments:

Post a Comment