Tuesday 13 May 2014

MBUNGE MUFINDI KASKAZINI ATOA VIFAA SHULE ZA SEKONDARI NA MSINGI MUFINDI KASKAZINI


Afisa Elimu  Msingi wilaya ya Mufindi Farida Mwasumilwe akiongea kabla ya kumkaribisha Mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya Mufindi Evarista Kalalu wakati wa Hafla fupi ya kukabidhi Kampyuta tano na Madawati miamoja kwa Shule za Msingi na Sekondari Vifaa hivyo vimetolewa na Mbunge wa Mufindi Kaskazini Mahammodu Mgimwa Pamoja na Shirika la Mfuko wa Pensheni wa watumishi wa Uma  Mkoa wa Iringa..Mnyalu.
Unknown Web Developer

No comments:

Post a Comment