Thursday 20 February 2014

CCM WAJIBU PINGAMIZI LA CHADEMA KWA MGOMBEA.


 Godfrey Mgimwa akionyesha Pasi ya kusafiria kujibu pingamizi alilo wekewa na chadema juu ya ugombea wake Jimbo la Kalenga.
Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa  Hassan Mtenga akijibu pingamizi alilowekewa Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa  leo.
Akiongea na waandishi wa habari katika Ofisi ya CCM Mkoa alisema Chadema hawana hoja kwani mgombea wetu ni raia wa Tanzania kwakuwa ni mzaliwa wa Iringa  amesoma hapahapa Iringa na kuhusiana na elimu ya juu amesoma nje kama wanavyosoma Watanzania wengine na sasa amerudi yupoTanzania ni mfanyakazi wa Stanbic Dar es salaam.
Pia alionyesha vielelezo vya mgombea Cheti cha kuzaliwa na Pasi ya kusafiria na kuongeza kuwa toka Chadema waweke Pingamizi hawajapeleka uthibitisho kwa msimamizi wa Wilaya pamoja na kuandikiwa barua kumb. No,IDC/D20/31/131 ya tar,19-02-2014  iliyo wataka kuthibisha kwa maandishi.
ilielezea sheria za pingamizi Ibala ya 67 kifungu 1 na 2 nakutoa maamuzi  ndani ya barua hiyo kuwa Godfrey Mgimwa ni mgombea halali katika uchaguzi wa Jimbo la Kalenga tar 16/03/2014.

Kwamujibu wa sheria ya uchaguzi mtoa pingamizi ana weza kukata rufaa kufuatia kifungu  No,40 (6) cha sheria ya uchaguzi ya Taifa nae Godfrey Mgimwa alisema hana shaka yeyote juu ya uraia wake huku akionyesha vielelezo vyake kwa waandishi anaimani kwamba CCM wamejipanga na watashinda kwa kishindo kwakuwa dalili hizo ni uthibitisho kuwa yeye ni tishio kwao Chadema.
Pia anaimani na wana Kalenga watamuunga mkono sawa na azima yake yakuleta maendeleo katika Jimbo la Kalenga kupitia CCM.
Nae Amina Mtenga  katibu wa CCM Wilaya ya Iringa alisema hana wasiwasi na yaliojitokeza kwani wanajiandaa kuanza kampeni hivi karibuni baada ya maandalizi watatangaza rasmi siku ya uzinduzi  wa kampeni huku akiwapa wito wana Kalenga kuwa tayari kusikiliza na kuamua kwa kutumia akili
alisema Katibu huyo wa Wilaya CCM na kuhusu wadhamini waliotoa shahada zao za kupigia kura kwa mgombea wote ni wananchi wa Jimbo la Kalenga na ni wapiga kura halali.
Mwisho  
Mnyalu

      
Unknown Web Developer

1 comment:

  1. KAMI SEKELUARGA MENGUCAPKAN BANYAK TERIMA KASIH ATAS BANTUANNYA MBAH , NOMOR YANG MBAH BERIKAN/ 4D SGP& HK SAYA DAPAT (350) JUTA ALHAMDULILLAH TEMBUS, SELURUH HUTANG2 SAYA SUDAH SAYA LUNAS DAN KAMI BISAH USAHA LAGI. JIKA ANDA INGIN SEPERTI SAYA HUB MBAH_PURO _085_342_734_904_ terima kasih.الالله صلى الله عليه وسلموعليكوتهله صلى الل

    KAMI SEKELUARGA MENGUCAPKAN BANYAK TERIMA KASIH ATAS BANTUANNYA MBAH , NOMOR YANG MBAH BERIKAN/ 4D SGP& HK SAYA DAPAT (350) JUTA ALHAMDULILLAH TEMBUS, SELURUH HUTANG2 SAYA SUDAH SAYA LUNAS DAN KAMI BISAH USAHA LAGI. JIKA ANDA INGIN SEPERTI SAYA HUB MBAH_PURO _085_342_734_904_ terima kasih.الالله صلى الله عليه وسلموعليكوتهله صلى الل


    KAMI SEKELUARGA MENGUCAPKAN BANYAK TERIMA KASIH ATAS BANTUANNYA MBAH , NOMOR YANG MBAH BERIKAN/ 4D SGP& HK SAYA DAPAT (350) JUTA ALHAMDULILLAH TEMBUS, SELURUH HUTANG2 SAYA SUDAH SAYA LUNAS DAN KAMI BISAH USAHA LAGI. JIKA ANDA INGIN SEPERTI SAYA HUB MBAH_PURO _085_342_734_904_ terima kasih.الالله صلى الله عليه وسلموعليكوتهله صلى الل

    ReplyDelete