NEWS PICTURE IRINGA
NEWS PICTURE IRINGA
Ajali ya Gari aina ya Noa T650BSM ikitokea Dar es Salaam
kwenda Mbeya ikiwa imebeba watu nane
Saba wakiwa ni abiria iliacha njia na kutumbukia karongoni eneo la
Ndiuka karibu na kiwanda cha Soda na
kumgonga mtembea kwa miguu aliejulikana
kwa Jina la Habiba Kabogo Umri haujajulikana
ni Mwanafunzi wa Chuo cha Retco Iringa na kumsababishia kifo papohapo. Majeruhi
sita wametibiwa na kuruhusiwa wakati Josephati
Japhet (29) mkazi wa Ilembo Mbeya aliumia Kidole na Mkono wa kushoto anaendelea na matibabu katika Hospitali ya rufaa Iringa Picha Mnyalu
No comments:
Post a Comment