Saturday, 5 September 2015
RC IRINGA ZIARA UKAGUZI WILAYA YA MUFINDI
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza kulia pichani akikagua na kupewa maelekezo ya ujenzi wa Vyoo bora kwa matumizi ya Abiria wanaosafiri barabara ya Dar es salaam Mbeya na fundi Mkuu Afisa wa JWTZ Mfinga JKT, Stanley Nzowa katika eneo la Kijiji cha Idetelo kata ya Mbalamaziwa wilaya ya Mufindi.Iringa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment