wakiwa na viongozi wenzake Mch Peter Msigwa (Mb) na Mh Halima Mdee (Mb)
Mh Filemon Mbowe akiwaaga wananchi wa Iringa manispaa waliokuwepo viwanja vya Mwembetogwa kabla ya kuondoka na Chopa.
Mh Halima Mdee na Mch Peter Msigwa (MB0 wakiwapungia mikono wananchi waliofika wakati wanaondoka Iringa kuelekea Morogoro kwa Chopa.
Wapenzi na wanachama wa Chadema wakiangalia viongozi wakijiandaa kuondoka viwanja vya Mwembetogwa manispaa ya Iringa.
CHOPA INAONDOKA.
PICHA ZOTE mnyalu.
No comments:
Post a Comment