Magari yabebayo mizigo mikubwa yameanza kutumia Barabara ya Iringa kwenda Dodoma huku yakikabiliwa na Changa moto ya kukosekana kwa maegesho ya Magari maeneo ya Vijiji mji kama uonavyo hapa ni stendi Migoli wilaya ya Iringa.
hali hiyo husababisha ajari za kizembe na kusababisha kupoteza maisha
Ubovu wa Barabara unajionyesha mapema huku mkandarasi akiwa kazini ni Barabara ya Dodoma- Iringa.
Safari ni safari mwanangu twende Migoli kijijini wilaya ya Iringa.
Mnyalu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment