Wakati wafuasi na wapenzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakishangilia dhamani aliopewa Mchg,Peter Msigwa (MB)wa Jimbo la Iringa mjinikatika mahakama ya wilaya Iringa.
Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Teresia Mahongo amebainisha wazi kuwa ratiba ya mikutano ya kampeni za udiwani ipowazi na ilipangwa ofisini kwake kwa kushirikiana na vyama vyote pia ikapelekwa Polisi.
Hivyo tarehe tano Januali Chadema walikuwa na mkutano wa kampeni kijiji cha Igungandembwe kata ya Nduli nasio Nduli hata ccm hawakua naratiba yamkutano anashangaa kuona wafuasi wa vyama hivyo wamekutana na kuzusha vurugu wakati yeye hajui kilicho wasibu
Mnyalu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment