Thursday 6 February 2014

MH.PETER MSIGWA (MB) AACHIWA KWA DHAMANA




1_23b06.jpg
Mchg.Peter Msigwa (Mb) Iringa Mjini akitoka mahakamani baada ya kuachiwa kwa dhamana
2_86b21.jpg
Msigwa akiwa na wafuasi wake akiwa amebebwa juu juU
3_a5a5e.jpg
Msigwa akipitishwa mbele ya ofisi za Manspaa
4_93c0b.jpg
Msigwa akiwa amebebwa na kushangiliwa nje ya ofisi za Manispaa
5_d0fb7.jpg
Msafara wazuiliwa na Polisi 
6_32bb0.jpg
Msigwa amuliwa kushushwa chini na kutembea  
7_7d5a9.jpg
Msigwa apanda gali
8_fca33.jpg
Msigwa aanza msafara kuelekea ofisi za chama Mtaa wa Mshindo
Ni baada ya kuachiwa kwa dhamana Mbunge wa Iringa Mjini Mchg. Peter Msigwa dhidi ya kesi ya kuhusishwa na mapigano ya wafuasi wa CCM na CHADEMA Mkoani Iringa katika harakati za kampeni za ugombea udiwani kata ya Nduli na kupelekea Kiongozi wa usalama CCM Kamanda Kasmu Keita kujeruhiwa na kulazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Iringa.
Mnyalu Iringa
Unknown Web Developer

No comments:

Post a Comment