Mbunge
wa Ludewa Deo Filikunjombe akitazama sehemu ya barabara ya Rupingu -
Ludewa inayoporomoka kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha chanzoWananchi
na msafara wa mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe
wakifungua barabara ya Rupingu -Ludewa iliyofunikwa na kifusi baada ya
mvua kubwa kunyesha kwa zaidi ya wiki moja mfululizo sasa barabara
hiyo ipo katika matengenezo makubwa na TANROADS mkoa wa Njombe kwa
kutegewa kiasi cha Tsh milioni 400 francgodwinblog. | | | | | |
No comments:
Post a Comment