Saturday 3 May 2014
WAENDESHA BODABODA NA BAJAJI IRINGA WAHOFU KAMATA KAMATA ISIO RASMI.
Madereva wa Bajaji na Bodaboda Manispaa ya Iringa wakimsikiliza Mwenyekiti wao Mwambombe Joseph katika mkutano wao wa dharula katika uwanja wa Mwembetogwa kwasababu ya matukio ya kukamatwa kwa makosa yasio eleweka kisheria na kulazimishwa kukaa vituo visivyo na tija kwao vilivyo nje yamji na kuazimia wawe na mshikamano kwa lolote ili kudai hakizao Mnyalu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment