Thom Malenga katibu ofisi ya Mbunge Jimbo la Isimani akikabidhi Jezi kwa Said Ng'amilo katibu wa Veterani Pawaga kwaajili ya Michezo yao ya Nani Mtani Jembe wenye mapenzi na Simba na Yanga
Tarafa ya Pawaga awali tar 10 sept 2014 Yanga waliibuka kidedea dhidi ya Simba kwa Magoli 4-3
mchezo mwingine unatarajia kuchezwa tar 30 Sept.katika uwanja wa Itunundu Pawaga.
Mnyalu..
No comments:
Post a Comment