Sunday 26 April 2015

MAEUNZO KWA MAAFISA WAANDISHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGAKURA IRINGA SASA.


Afisa muwezeshaji toka Nec taifa Sanif Khalfani akitoa maelekezo ya namna ya Kutumia Mashine ya Kielektronik BVR kwa Maafisa waandikishaji Daftari la wapigakura la kudumu Mkoa wa Iringa. kwa maandalizi ya kuanza rasmi uandikishaji mkoamzima kwa kuanza na baadhi ya vutuo kwa uhaba wa Vifaa vya BVR. Mnyalu.

Unknown Web Developer

No comments:

Post a Comment