Thursday, 16 July 2015
TUNAKUSIKILIZA
Mratibu wa Shirika la TAGRODE Zuberi Mwachula akiongea na wanakijiji cha Ilalasimba kata ya Nzihi Wilaya ya Iringa katika mkutano wa pamoja na wafadhiri waliofanikisha upimaji aridhi na kupata Hati miliki za kimila kwa kutumia Simu ya Mkononi. sambamba na uelimishwaji sheria ya kumiliki aridhi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment