Sunday 9 August 2015
NAHAMA CHADEMA NAENDA ACT
Chiku Abwao akionge na viongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo Mkoa wa Iringa pamoja na waandishi wa habari juu ya adhima yake ya kujiunga na ACT na kuchukua fomu kutaka ridhaa ya kuwa mgombea Ubunge jimbo la Iringa nakujihakikishia uwezo wake binafsi wa kushinda na kuludi Bungeni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment