Tuesday 28 January 2014

CHADEMA YAUNGURUMA IRINGA.


 
Chopa ya viongozi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo ilipo tua viwanja vya mwembetogwa.

 Mh Halima Mdee Mbunge wa jimbo la kawe jijini  Dar es salaam akiongea na wananchi Iringa Manispaa na Vitongoji vyake.
Mh Mchungaji Peter Msigwa Mbunge wa Jimbo la Iringa mjini akiongea na wananchi na wapenzi wa Chama cha   Demokrasia na Maendeleo katika viwanja vya Mwembetogwa

 Mh Devid Silinde Mbunge wa Tunduma akiwaasa wana Iringa kujiandaa na uchaguzi ujao 2015.
Picha na Mnyalu  Iringa.
Unknown Web Developer

No comments:

Post a Comment