Friday 14 February 2014

MIGOLI WABADILI UJASILIAMALI.


 Wafanya biashara kijiji cha Migoli wakiuza bidhaa zao mahindi ya kuchemsha na matikiti eneo la stendi nje ya hoteli ya New Sunrise kwa wasafiri waendao Dodoma na Iringa .
 Samaki wanazidikuwa haba katika bwawa la mtera kila kukicha mfano nihuu imewabidi wavuvi sasa kuanza kazi za kilimo cha malimbichi kando ya bwawa la mtera na akina mama kuanza uuzaji mahindi ya kuchemsha
na Matikiti maji.
 Perege sasa ni adimu bwawa la mtere


   










Matikiti toka katika  bustani zinazo limwa kando ya bwawa la mtera yaki shushwa kijijini Migoli tayali kuwauzia walaji.
Picha n Mnyalu.
Unknown Web Developer

No comments:

Post a Comment