Sunday 13 April 2014

MICHUANO YA MPIRA WA MIGUU LIGI DARAJA LA NNE NGAZI YA WILAYA IRINGA YA MALIZIKA.


Hezron  Haule wa timu ya Mtwivila City  fc Mgongoni Jezi namba 24 akiwalamba chenga wachezaji wa timu ya Bluck Eagle ya Ndiuka wakati wa mchezo wao wa mwisho uliochezwa katika Uwanja wa Samora  katika Ligi Daraja la nne ngazi ya wilaya Iringa Mtwivila City iliibuka kidedea kwa magoli matatu kwa bila
Picha na Said Ng'amilo.
Unknown Web Developer

No comments:

Post a Comment