Godfray Mgimwa mbunge wa Jimbo la Kalenga kulia akimkabidhi mabati themanini Afisa mtendji wa kijiji cha Muwimbi kata ya Lumuli Kwaajili ya ujenzi wa bweni la Sekondari . mchango huo nimoja ya mabati 460 yanyethamani ya jumla Tsh milioni nane na hamsini elfu aliyotoa katika vijiji vya Kiwere,Itagutwa,Mgama,Ibumila,
Saturday 3 May 2014
MH GODFRAY MGIMWA ACHANGIA UJENZI WA SHULE NA ZAHANATI KALENGA
Godfray Mgimwa mbunge wa Jimbo la Kalenga kulia akimkabidhi mabati themanini Afisa mtendji wa kijiji cha Muwimbi kata ya Lumuli Kwaajili ya ujenzi wa bweni la Sekondari . mchango huo nimoja ya mabati 460 yanyethamani ya jumla Tsh milioni nane na hamsini elfu aliyotoa katika vijiji vya Kiwere,Itagutwa,Mgama,Ibumila,
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment